MAPEMA wiki hii nilikuwa mmoja wanahabari walioalikwa kuhudhuria kikao cha 17 cha Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) jijini Dar es Salaam.
Katika hotuba yake fupi kwa wajumbe wa Baraza, Mwenyekiti wa BASATA, Dk. Frowin Nyoni alizungumzia umuhimu wa wajumbe kuchangia ajenda zilizopo ili kuwa na maamuzi yenye kujenga sanaa nchini.
Mengi yalisemwa na wajumbe kuchangia ajenda hizo ambazo nyingi zilielekeza katika ukuzaji wa sanaa na kuinua hali za maisha ya wasanii Tanzania ambao wengi wao wanaishi kwa taabu.
Lakini moja ya hoja iliyonivutia katika kikao hicho ni azma ya BASATA ya kuifufua taarabu asilia hapa nchini.
Dk. Nyoni alitamka kuwa kwa miaka ya hivi karibuni wamebaini muziki wa taarabu asilia unapotea na wenye uwezo wa kuanzisha vikundi vya taarabu wamebadili ladha ya muziki huyo kwa kile kilichopewa jina la modern taarabu.
ÒTaarabu asilia imekosa mashabiki lakini bado ipo nafasi ya kuwahamasisha wananchi kuipenda taarabu,Ó alisema Dk. Nyoni.
Hata hivyo, Dk. Nyoni aliongeza kuwa kuna vikwazo vya muziki huo kusonga mbele na anavitaja kuwa ni pamoja na ukosefu wa ala halisi kwa ajili ya taarabu muziki.
ÒHatuna maduka ya vyombo vya asiliaÉkwa hiyo mtu mwenye kikundi chake atakimbilia Kariakoo kununua gitaa lake na kinanda, jioni anafanya onyesho.
ÒHakuna duka linauza vifaa kama vile violin au akodiani,Ó alieleza Dk. Nyoni.
Kauli ya Dk. Nyoni kuhusu kufufua muziki wa taarabu ikanikumbusha maneno ya rafiki yangu marehemu Issa Matona kwamba taarabu ilishapoteza mwelekeo.
Matona alipozungumza nami zaidi ya zaidi ya miaka mitano iliyopita alisema anapata uchungu mkubwa kwa kuona muziki wa taarabu unaharibiwa kwa kuleta kile kinachoitwa modern taarabu.
Nakumbuka Matona alisema ÒMuziki wa taarabu una miiko yake, taarabu haichezwi kwa kukata mauno kama ndomboloÉmashairi pia wameyaharibu. Siku hizi wanaimba matusi ya wazi wazi.Ó
Matona ambaye atakumbukwa kuwa mwanamuziki aliyebobea katika taarabu na mkali wa mashairi alikuwa akijaribu kuwahimiza wanamuziki kwenye reli hiyo waache kuuharibu.
Kwa upande wa BASATA, ukuzaji wa muziki huo umewekewa programu ya miaka minne (2006-2010). Mpango huo utagharimu shilingi bilioni 1.6.
Katika hilo, wasanii mbalimbali watahamasishwa ili kutimiza lengo la kuupa hadhi yake muziki wa taarabu asilia.
Kwa mujibu wa historia, muziki huo uliletwa Zanzibar na Waarabu wa Oman katika karne ya 19 wakileta vifaa, tungo na hata lugha iliyotumika ilikuwa ni Kiarabu.
Lakini pia miiko ya muziki huo ni kwamba si muziki wa kucheza kwa nguvu bali uliundwa ili usikilizwe.
Baadaye watunzi wa Kizanzibari nao walianza kutunga mashairi wakitumia Kiswahili kwa kutumia melodia za Kimisri na Kihindi na inaaminika kuwa mwaka 1930 muziki huo ukaingia Tanganyika na kujikita katika miji ya Morogoro, Dodoma, Tabora, Mwanza na Kigoma.
Tangu wakati huo, muziki huo ulianza kukua na kuenea sehemu nyingi za Tanzania lakini kwa bahati mbaya uasili wake ukaanza kupotea siku hadi siku.
Kumekuwa na matatizo yaliyochangia muziki huo ukafa kama ilivyodokezwa awali lakini vikwazo vingine ni ukosefu wa wawekezaji na udhaifu katika uongozi na utawala.
Pamoja na matatizo hayo, BASATA imeweka mkakati maalumu wa kuboresha ufahamu na taaluma na kuhakikisha kuwa upatikanaji wa vifaa vya muziki huo hauwi kikwazo tena.
Lakini pia imepangwa kufanya uwekezaji na kutenga mfuko maalumu wa kusaidia ukuaji wa muziki wa taarabu asilia.
munyuku@gmail.com
0754 471 920
Wednesday, January 24, 2007
Friday, January 19, 2007
Dk Mwiko Kuona asema tusibeze tiba za asili
Na Mwandishi Maalumu
HISTORIA inaonyesha kuwa binadamu kabla ya kuibuka kwa teknolojia za kisasa alitumia vitu vingi vya asili. Kuanzia chakula na dawa kwa magonjwa mbalimbali.
Kuibuka kwa mbinu mpya katika nyanja za kila aina kukasababisha utengenezwaji wa dawa viwandani na hivyo kurahishisha ufungaji na usambazaji pia.
Pamoja na uvumbuzi wa viwanda vya dawa, ukweli wa mambo ni kwamba tiba za asili zingali na umuhimu mkubwa kwa binadamu na mataifa mengi yanaendelea kuzitumia dawa hizo.
Tanzania ni moja ya nchi ambazo zimeendelea kutumia tiba za asili kwa magonjwa mbalimbali ikiwemo zile za kupunguza makali ya ugonjwa wa ukimwi, homa na ngiri.
Hata hivyo, kumekuwa na wimbi la watoa tiba za asili ambao wengi wao si waaminifu. Hili ni kundi ambalo limejiwekea mizizi ya kuwatapeli watu badala ya kutoa tiba halisi kwa wagonjwa.
Mganga maarufu wa tiba za asili nchini Dk. Mwiko Kuona anasema ujio wa kundi la ‘makanjanja’ katika tiba za asili ni kero kubwa kwa jamii.
“Mimi ninachoomba ni mamlaka za Serikali hapa nchini kuwadhibiti hawa wahalifu wa tiba za asili. Wanaharibu maana ya huduma hii.
“Si kila mtu anaweza kuwa mganga wa tiba za asili hilo lazima tukubaliane na kwa vile hawa wanaoharibu sekta hii tunaishi nao mitaani ni suala la kuwakamata na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria ili kuokoa maisha ya Watanzania,” anasema Dk. Mwiko.
Dk. Mwiko anaeleza kuwa kama waharibifu wa aina hiyo hawatadhibitiwa, Tanzania itajikuta iko kwenye janga litakalolidhoofisha taifa.
Akizungumzia uwezo wa tiba hizo katika jamii, Dk. Mwiko anasema dawa hizo zimekuwa zikiokoa maisha watu kila siku. Anayataja maradhi ambayo wamekuwa wakikabiliana nayo kuwa ni pamoja na upungufu wa nguvu za nguvu za kiume.
“Ukweli ni kwamba katika miaka ya hivi karibuni, wanaume wengi wamekuwa wakipungukiwa nguvu za kiume na tiba zipo. Matatizo kama haya mara nyingi hutokana na vyakula tunavyokula hasa vilivyopoteza uasili wake, mtu mwenye kisukari, ngiri, presha au ugonjwa wa figo anaweza kukumbwa na tatizo hili,” anasema.
Dk. Mwiko anasema wakati umefika kwa jamii kutambua umuhimu wa matumizi ya dawa za asili kwani uzoefu unaonyesha kuwa ni nzuri kwa matumizi ya binadamu na hukomesha kabisa magonjwa sugu.
Anatolea mfano magonjwa kama kuwashwa sehemu za siri, chunusi sugu na mabaka, maumivu ya mara kwa mara ya mgongo au kiuno, kukojoa kitandani, kukosa usingizi homa ya matumbo au magonjwa nyemelezi.
“Angalia Wachina wanavyoendelea kutumia dawa za asili, wanajua ubora wake ndio maana wamezing’ang’ania. Sasa sisi tunazibeza nadhani hii ni hatari kwetu kama hatutakuwa makini.
“Amerika ya Kusini nao wako mstari wa mbele katika kudumisha matumizi ya dawa hizi. Kwa hiyo ni jukumu letu kama wataalamu wa tiba kuhakikisha kuwa tunakuwa wabunifu kila siku na kuwadhibiti wanaoharibu sekta hii, hiki ni kilio changu.”
Mbali na kutoa huduma ya tiba, Dk. Mwiko ni mtabiri mwenye uwezo pia wa kufukuza pepo wabaya.
HISTORIA inaonyesha kuwa binadamu kabla ya kuibuka kwa teknolojia za kisasa alitumia vitu vingi vya asili. Kuanzia chakula na dawa kwa magonjwa mbalimbali.
Kuibuka kwa mbinu mpya katika nyanja za kila aina kukasababisha utengenezwaji wa dawa viwandani na hivyo kurahishisha ufungaji na usambazaji pia.
Pamoja na uvumbuzi wa viwanda vya dawa, ukweli wa mambo ni kwamba tiba za asili zingali na umuhimu mkubwa kwa binadamu na mataifa mengi yanaendelea kuzitumia dawa hizo.
Tanzania ni moja ya nchi ambazo zimeendelea kutumia tiba za asili kwa magonjwa mbalimbali ikiwemo zile za kupunguza makali ya ugonjwa wa ukimwi, homa na ngiri.
Hata hivyo, kumekuwa na wimbi la watoa tiba za asili ambao wengi wao si waaminifu. Hili ni kundi ambalo limejiwekea mizizi ya kuwatapeli watu badala ya kutoa tiba halisi kwa wagonjwa.
Mganga maarufu wa tiba za asili nchini Dk. Mwiko Kuona anasema ujio wa kundi la ‘makanjanja’ katika tiba za asili ni kero kubwa kwa jamii.
“Mimi ninachoomba ni mamlaka za Serikali hapa nchini kuwadhibiti hawa wahalifu wa tiba za asili. Wanaharibu maana ya huduma hii.
“Si kila mtu anaweza kuwa mganga wa tiba za asili hilo lazima tukubaliane na kwa vile hawa wanaoharibu sekta hii tunaishi nao mitaani ni suala la kuwakamata na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria ili kuokoa maisha ya Watanzania,” anasema Dk. Mwiko.
Dk. Mwiko anaeleza kuwa kama waharibifu wa aina hiyo hawatadhibitiwa, Tanzania itajikuta iko kwenye janga litakalolidhoofisha taifa.
Akizungumzia uwezo wa tiba hizo katika jamii, Dk. Mwiko anasema dawa hizo zimekuwa zikiokoa maisha watu kila siku. Anayataja maradhi ambayo wamekuwa wakikabiliana nayo kuwa ni pamoja na upungufu wa nguvu za nguvu za kiume.
“Ukweli ni kwamba katika miaka ya hivi karibuni, wanaume wengi wamekuwa wakipungukiwa nguvu za kiume na tiba zipo. Matatizo kama haya mara nyingi hutokana na vyakula tunavyokula hasa vilivyopoteza uasili wake, mtu mwenye kisukari, ngiri, presha au ugonjwa wa figo anaweza kukumbwa na tatizo hili,” anasema.
Dk. Mwiko anasema wakati umefika kwa jamii kutambua umuhimu wa matumizi ya dawa za asili kwani uzoefu unaonyesha kuwa ni nzuri kwa matumizi ya binadamu na hukomesha kabisa magonjwa sugu.
Anatolea mfano magonjwa kama kuwashwa sehemu za siri, chunusi sugu na mabaka, maumivu ya mara kwa mara ya mgongo au kiuno, kukojoa kitandani, kukosa usingizi homa ya matumbo au magonjwa nyemelezi.
“Angalia Wachina wanavyoendelea kutumia dawa za asili, wanajua ubora wake ndio maana wamezing’ang’ania. Sasa sisi tunazibeza nadhani hii ni hatari kwetu kama hatutakuwa makini.
“Amerika ya Kusini nao wako mstari wa mbele katika kudumisha matumizi ya dawa hizi. Kwa hiyo ni jukumu letu kama wataalamu wa tiba kuhakikisha kuwa tunakuwa wabunifu kila siku na kuwadhibiti wanaoharibu sekta hii, hiki ni kilio changu.”
Mbali na kutoa huduma ya tiba, Dk. Mwiko ni mtabiri mwenye uwezo pia wa kufukuza pepo wabaya.
Wanaotumia jina la Dk. Mwiko kutapeli waonywa
Na Mwandishi Wetu
IMEBAINIKA kuwa katika siku za hivi karibuni kumeibuka kundi la watu matapeli wanaotumia jina la Dk.Mwiko Kuona kwa nia chafu.
Kutokana na hali hiyo, Dk. Mwiko amewataka watu hao kuiacha tabia hiyo mara moja vinginevyo watachukuliwa hatua kali za kisheria kwa kujipatia pesa kwa nia ya udanganyifu.
Akizungumza na gazeti hili Jumanne wiki hii Dk. Mwiko alisema kuwa amepata taarifa hizo na kwamba ameshawabaini watu wa aina hiyo lakini kwa ustaarabu ameamua kuwaelekeza kutoendelea tena na tabia hiyo chafu.
"Tabia kama hii si tu kwamba inaharibu jina langu bali ni kuteketeza maisha ya Watanzania wenzetu kwa sababu hawa wanaotumia jina langu hawana ujuzi na tiba asilia," alisema Dk. Mwiko.
Aliongeza kuwa anachotaka sasa ni kuwaeleza Watanzania kuwa kwa yeyote atakayejitambulisha kuwa katumwa na Dk. Mwiko hana budi kupiga simu namba 0754 602629 au 0787 602629.
Katika hatua nyingine, Dk. Mwiko ameongeza kuwa anaandaa ziara kwa ajili ya kuwafikia wahitaji wa tiba ambao hawawezi kuja jijini Dar es Salaam.
"Usipofanikiwa kwenda waliko inakuwa haina maana kwani wagonjwa wengine hawamudu kusafiri kuja jijini."
Wakati huo huo, DK. Mwiko ameendelea kujenga ofisi mpya yenye uwezo wa kubeba wagonjwa wengi kwa wakati mmoja.
"Watu wanaongezeka na hivyo sina budi kupanua eneo kwa kujenga ofisi mpya hapa Keko," alisema.
IMEBAINIKA kuwa katika siku za hivi karibuni kumeibuka kundi la watu matapeli wanaotumia jina la Dk.Mwiko Kuona kwa nia chafu.
Kutokana na hali hiyo, Dk. Mwiko amewataka watu hao kuiacha tabia hiyo mara moja vinginevyo watachukuliwa hatua kali za kisheria kwa kujipatia pesa kwa nia ya udanganyifu.
Akizungumza na gazeti hili Jumanne wiki hii Dk. Mwiko alisema kuwa amepata taarifa hizo na kwamba ameshawabaini watu wa aina hiyo lakini kwa ustaarabu ameamua kuwaelekeza kutoendelea tena na tabia hiyo chafu.
"Tabia kama hii si tu kwamba inaharibu jina langu bali ni kuteketeza maisha ya Watanzania wenzetu kwa sababu hawa wanaotumia jina langu hawana ujuzi na tiba asilia," alisema Dk. Mwiko.
Aliongeza kuwa anachotaka sasa ni kuwaeleza Watanzania kuwa kwa yeyote atakayejitambulisha kuwa katumwa na Dk. Mwiko hana budi kupiga simu namba 0754 602629 au 0787 602629.
Katika hatua nyingine, Dk. Mwiko ameongeza kuwa anaandaa ziara kwa ajili ya kuwafikia wahitaji wa tiba ambao hawawezi kuja jijini Dar es Salaam.
"Usipofanikiwa kwenda waliko inakuwa haina maana kwani wagonjwa wengine hawamudu kusafiri kuja jijini."
Wakati huo huo, DK. Mwiko ameendelea kujenga ofisi mpya yenye uwezo wa kubeba wagonjwa wengi kwa wakati mmoja.
"Watu wanaongezeka na hivyo sina budi kupanua eneo kwa kujenga ofisi mpya hapa Keko," alisema.
Haya ndiyo maajabu ya Dk. Mwiko
Na Mwandishi Wetu
ALIANZIA kuvuma jijini Dar es Salaam lakini sasa jina lake limepaa na kuvuka mipaka ya Tanzania. Huyu si mwingine bali Dk. Mwiko Kuona mganga maarufu wa tiba za asili nchini.
Aliposimama na kuwafichua wachawi siku ya kwanza katika viunga vya Keko jijini Dar es Salaam ilionekana wazi kuwa alikuwa na mwelekeo mzuri katika tiba na hivyo kuokoa maisha ya watu.
Hakuishia kuwakomesha magagula bali alizidisha huduma za tiba kwa wateja wake na hilo ndilo jambo analoendelea nalo kila leo.
Wiki hii amezungumza na gazeti hili na kubainisha kuwa mwaka huu wa 2007 atakuwa na jukumu zito zaidi kwani amepanga kupanua wigo wa huduma zake katika sehemu mbalimbali za Tanzania.
"Nimekaa Dar es Salaam kwa muda mrefu lakini kwa jinsi watu wanavyozidi kunihitaji siwezi kubakia hapa nilipo yanipasa niwafuate huko waliko manake wengine hawamudu gharama za kuja nilipo," anasema Dk. Mwiko.
Inawezekana ulishakumbwa na matatizo kama vile kukosa uzazi, kutokuwa na hamu ya kula, magonjwa yatokanayo na ukimwi, malaria sugu au kudhulumiwa haki yako. Hayo yote yana suluhu kwa Dk.Mwiko.
Si hayo tu hata kama kuna mpenzi wako anayekuchezea akili kwa kutembea nje ya mapenzi yenu, Dk. Mwiko anao uwezo wa kurejesha uhusiano uliovunjika na hilo linafanyika kwa muda wa siku chache.
Pengine ulishateswa usingizini na wakati mwingine kuandamwa na wezi katika mashamba au nyumbani, Dk. Mwiko ana ubavu wa kukuwekea zindiko na kukuepusha na matatizo hayo.
Katika siku za mwanzo kabisa, Dk. Mwiko hakupenda kujihusisha na masuala ya uganga wa tiba za asili. Alitamani kufanya kazi nyingine. Lakini kadri siku zilivyokuwa zinasonga mbele, mambo yalibadilika kwani mizimu ya mababu ilimvuta arithi tiba kama ilivyokuwa kwa babu yake.
"Si unajua mambo ya ujana bwana, mimi sikutaka kujihusisha na uganga ingawa babu ndio ilikuwa shughuli zake.
"Lakini kila nilipojaribu kukwepa jukumu hilo, kichwa kilikuwa kinaendelea kupata maumivu makubwa kiasi cha kushindwa kufanya kazi. Ndipo nikaanza kujiuliza tatizo nini?
"Kwa hiyo baada ya kurejea Chalinze nikaambiwa kuna kitu natakiwa kukifanya na sijafanya na kwamba salama yangu nikubali kubeba mikoba ya uganga kutoka kwa babu," anakumbuka Dk. Mwiko Kuona.
Anasema baada ya kufanyiwa zindiko porini, ile hali ya kuumwa kichwa ikapotea na ndiyo maana aliamua kuacha kazi ya kuajiriwa na kuamua kuwapa watu tiba za asili kwa wanaohitaji.
Alishaalikwa kuondoa majini sehemu moja huko Ugweno na katika ziara yake hiyo anasema alipata mafanikio makubwa kwani wanakijiji walifurahi kwa vile aliwanusuru na mateso waliyokuwa wakikumbana nayo.
"Hapa unaponiona hakuna lisilowezekana katika tiba za asili, nafanya kila jitihada kuhakikisha kuwa wateja wangu wanaridhika na tiba zangu na hilo nalifanya kwa umakini mkubwa kwa sababu sitaki kuharibu jina," anaeleza.
Katika shughuli za kuondoa 'vitu' kwenye majumba ya watu na kuwasitisha wachawi huambatana na wasaidizi wake wanne pamoja na walinzi zaidi ya 10.
"Walinzi hawa kazi yao ni kudhibiti msongamano wa watu manake katika hizi kazi hasa ya kuwashika wachawi watu wanakuwa na usongo wa kuona nini kinaendelea...sasa kama huna ulinzi watakuharibia shughuli kwani msongamano huo utaingilia utaratibu mzima," anasema.
Kama unasumbuliwa na magonjwa mbalimbali au mfarakano wa kimapenzi, biashara haiendi vizuri usisite kuwasiliana na Dk. Mwiko Kuona kwa simu namba
0754 602629 au 0787 602629.
ALIANZIA kuvuma jijini Dar es Salaam lakini sasa jina lake limepaa na kuvuka mipaka ya Tanzania. Huyu si mwingine bali Dk. Mwiko Kuona mganga maarufu wa tiba za asili nchini.
Aliposimama na kuwafichua wachawi siku ya kwanza katika viunga vya Keko jijini Dar es Salaam ilionekana wazi kuwa alikuwa na mwelekeo mzuri katika tiba na hivyo kuokoa maisha ya watu.
Hakuishia kuwakomesha magagula bali alizidisha huduma za tiba kwa wateja wake na hilo ndilo jambo analoendelea nalo kila leo.
Wiki hii amezungumza na gazeti hili na kubainisha kuwa mwaka huu wa 2007 atakuwa na jukumu zito zaidi kwani amepanga kupanua wigo wa huduma zake katika sehemu mbalimbali za Tanzania.
"Nimekaa Dar es Salaam kwa muda mrefu lakini kwa jinsi watu wanavyozidi kunihitaji siwezi kubakia hapa nilipo yanipasa niwafuate huko waliko manake wengine hawamudu gharama za kuja nilipo," anasema Dk. Mwiko.
Inawezekana ulishakumbwa na matatizo kama vile kukosa uzazi, kutokuwa na hamu ya kula, magonjwa yatokanayo na ukimwi, malaria sugu au kudhulumiwa haki yako. Hayo yote yana suluhu kwa Dk.Mwiko.
Si hayo tu hata kama kuna mpenzi wako anayekuchezea akili kwa kutembea nje ya mapenzi yenu, Dk. Mwiko anao uwezo wa kurejesha uhusiano uliovunjika na hilo linafanyika kwa muda wa siku chache.
Pengine ulishateswa usingizini na wakati mwingine kuandamwa na wezi katika mashamba au nyumbani, Dk. Mwiko ana ubavu wa kukuwekea zindiko na kukuepusha na matatizo hayo.
Katika siku za mwanzo kabisa, Dk. Mwiko hakupenda kujihusisha na masuala ya uganga wa tiba za asili. Alitamani kufanya kazi nyingine. Lakini kadri siku zilivyokuwa zinasonga mbele, mambo yalibadilika kwani mizimu ya mababu ilimvuta arithi tiba kama ilivyokuwa kwa babu yake.
"Si unajua mambo ya ujana bwana, mimi sikutaka kujihusisha na uganga ingawa babu ndio ilikuwa shughuli zake.
"Lakini kila nilipojaribu kukwepa jukumu hilo, kichwa kilikuwa kinaendelea kupata maumivu makubwa kiasi cha kushindwa kufanya kazi. Ndipo nikaanza kujiuliza tatizo nini?
"Kwa hiyo baada ya kurejea Chalinze nikaambiwa kuna kitu natakiwa kukifanya na sijafanya na kwamba salama yangu nikubali kubeba mikoba ya uganga kutoka kwa babu," anakumbuka Dk. Mwiko Kuona.
Anasema baada ya kufanyiwa zindiko porini, ile hali ya kuumwa kichwa ikapotea na ndiyo maana aliamua kuacha kazi ya kuajiriwa na kuamua kuwapa watu tiba za asili kwa wanaohitaji.
Alishaalikwa kuondoa majini sehemu moja huko Ugweno na katika ziara yake hiyo anasema alipata mafanikio makubwa kwani wanakijiji walifurahi kwa vile aliwanusuru na mateso waliyokuwa wakikumbana nayo.
"Hapa unaponiona hakuna lisilowezekana katika tiba za asili, nafanya kila jitihada kuhakikisha kuwa wateja wangu wanaridhika na tiba zangu na hilo nalifanya kwa umakini mkubwa kwa sababu sitaki kuharibu jina," anaeleza.
Katika shughuli za kuondoa 'vitu' kwenye majumba ya watu na kuwasitisha wachawi huambatana na wasaidizi wake wanne pamoja na walinzi zaidi ya 10.
"Walinzi hawa kazi yao ni kudhibiti msongamano wa watu manake katika hizi kazi hasa ya kuwashika wachawi watu wanakuwa na usongo wa kuona nini kinaendelea...sasa kama huna ulinzi watakuharibia shughuli kwani msongamano huo utaingilia utaratibu mzima," anasema.
Kama unasumbuliwa na magonjwa mbalimbali au mfarakano wa kimapenzi, biashara haiendi vizuri usisite kuwasiliana na Dk. Mwiko Kuona kwa simu namba
0754 602629 au 0787 602629.
Subscribe to:
Comments (Atom)